Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 94:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama Yehova hangenipa msaada,+Baada ya muda kidogo nafsi yangu ingekaa penye kimya.+