Zaburi 118:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ulinisukuma kwa nguvu ili nianguke,+Lakini Yehova mwenyewe alinisaidia.+ Zaburi 124:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kama Yehova hangekuwa upande wetu+Watu waliposimama dhidi yetu,+ 2 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+
10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+