Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini adui zangu wamekuwa wengi?+Kwa nini wengi wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+ Zaburi 37:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwovu anaendelea kumwangalia mwadilifu+Naye anatafuta kumuua.+
16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+