Zaburi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye amesema katika moyo wake:+ “Mungu amesahau.+Ameuficha uso wake.+Hakika hatauona kamwe.”+ Isaya 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+ Hosea 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wao humfanya mfalme ashangilie kwa ubaya wao, na wakuu kwa udanganyifu wao.+
10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+