-
2 Mambo ya Nyakati 18:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Halafu Yehova akauliza, ‘Ni nani atakayemdanganya Mfalme Ahabu wa Israeli, ili apande kwenda na kufia huko Ramothi-gileadi?’ Na malaika mmoja akasema jambo moja na mwingine akasema jambo lingine.
-