1 Wafalme 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na huyu akaanza kusema hivi, na yule akasema vile.+ Methali 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Vidonda vinavyosababishwa na mpenzi ni vya uaminifu,+ lakini busu za mtu mwenye chuki zinapatikana kwa maombi ya kusihi.+
20 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na huyu akaanza kusema hivi, na yule akasema vile.+
6 Vidonda vinavyosababishwa na mpenzi ni vya uaminifu,+ lakini busu za mtu mwenye chuki zinapatikana kwa maombi ya kusihi.+