29 Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha wanadamu wote na kwamba adhabu iletwe juu yao kulingana na adhabu ya wanadamu wote,+ basi si Yehova aliyenituma mimi.+
22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+