Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na itatukia kwamba wakati ambapo mtu atakuwa amesikia maneno ya kiapo hiki,+ naye amejibariki moyoni mwake, na kusema, ‘Nitakuwa na amani,+ ijapokuwa nitatembea katika ukaidi wa moyo wangu,’+ kwa kusudi la kumfagilia mbali aliyenyweshwa maji vizuri pamoja na mwenye kiu,

  • Yeremia 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki