6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja,+ karibu watu mia nne, akawaambia: “Je, niende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Nao wakaanza kusema: “Panda uende,+ na Yehova atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”
3 Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Ole wao manabii wajinga,+ wanaoifuata roho yao wenyewe,+ wakati ambapo hakuna chochote ambacho wameona!+
4Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu,+ kwa sababu manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+