Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+

  • Amosi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Lakini mliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+ nanyi mkaweka amri juu ya manabii, mkisema: “Msitoe unabii.”+

  • Amosi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi sasa lisikie neno la Yehova, ‘Je, unasema: “Usitoe unabii juu ya Israeli,+ wala usiache neno lolote lianguke+ juu ya nyumba ya Isaka”?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki