Isaya 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+ Amosi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Lakini mliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+ nanyi mkaweka amri juu ya manabii, mkisema: “Msitoe unabii.”+ Amosi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi sasa lisikie neno la Yehova, ‘Je, unasema: “Usitoe unabii juu ya Israeli,+ wala usiache neno lolote lianguke+ juu ya nyumba ya Isaka”?
10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+
12 “ ‘Lakini mliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+ nanyi mkaweka amri juu ya manabii, mkisema: “Msitoe unabii.”+
16 Basi sasa lisikie neno la Yehova, ‘Je, unasema: “Usitoe unabii juu ya Israeli,+ wala usiache neno lolote lianguke+ juu ya nyumba ya Isaka”?