Yeremia 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya watu wa Anathothi+ wanaoitafuta nafsi yako, wakisema: “Usitoe unabii katika jina la Yehova,+ usije ukafa mkononi mwetu”; Amosi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini usiendelee tena kutoa unabii katika Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ napo ni nyumba ya ufalme.”
21 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya watu wa Anathothi+ wanaoitafuta nafsi yako, wakisema: “Usitoe unabii katika jina la Yehova,+ usije ukafa mkononi mwetu”;
13 Lakini usiendelee tena kutoa unabii katika Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ napo ni nyumba ya ufalme.”