17 Hata hivyo, ili isipate kusambazwa zaidi kotekote kati ya watu, acheni tuwaambie kwa vitisho wasiseme tena kamwe na mtu yeyote juu ya msingi wa jina hilo.”+
28 na kusema: “Hakika tuliwaagiza+ msiendelee kufundisha juu ya msingi wa jina hili, na bado, tazameni! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu,+ nanyi mnaazimia kuileta damu+ ya mtu huyu juu yetu.”