Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.

  • Waamuzi 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi sasa jiangalie, tafadhali, usinywe divai wala kileo,+ wala usile kitu chochote kisicho safi.+

  • Mathayo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+

  • Marko 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yohana alikuwa amevaa manyoya ya ngamia na mshipi wa ngozi kiunoni mwake,+ na alikuwa akila nzige+ na asali ya mwituni.+

  • Luka 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki