3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.
4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+
15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+