3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.
15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+