1 Samweli 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+ Methali 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanangu, kula asali, kwa maana ni njema; asali tamu ya sega na iwe katika kaakaa lako.+
27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+