5 “Nimeingia katika bustani yangu,+ ewe dada yangu,+ bibi-arusi wangu.+ Nimechuma manemane+ yangu pamoja na manukato yangu. Nimekula sega langu la asali pamoja na asali yangu;+ nimekunywa divai yangu pamoja na maziwa yangu.”
“Kuleni, enyi wapenzi! Kunyweni, mlewe maonyesho ya mapenzi!”+