Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Je, umepata asali?+ Kula kiasi cha kukutosha, ili usiile kupita kiasi kisha uitapike.+

  • Wimbo wa Sulemani 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nimeingia katika bustani yangu,+ ewe dada yangu,+ bibi-arusi wangu.+ Nimechuma manemane+ yangu pamoja na manukato yangu. Nimekula sega langu la asali pamoja na asali yangu;+ nimekunywa divai yangu pamoja na maziwa yangu.”

      “Kuleni, enyi wapenzi! Kunyweni, mlewe maonyesho ya mapenzi!”+

  • Mathayo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki