Waamuzi 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi baada ya muda akarudi kumchukua mwanamke yule nyumbani kwake.+ Naye akageuka kando kuuangalia ule mzoga wa simba, na tazama, kulikuwa na bumba la nyuki ndani ya huo mzoga wa simba, na asali.+ Methali 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanangu, kula asali, kwa maana ni njema; asali tamu ya sega na iwe katika kaakaa lako.+
8 Basi baada ya muda akarudi kumchukua mwanamke yule nyumbani kwake.+ Naye akageuka kando kuuangalia ule mzoga wa simba, na tazama, kulikuwa na bumba la nyuki ndani ya huo mzoga wa simba, na asali.+