11 Kisha Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa, basi, ndivyo ilivyo,+ fanyeni hivi: Chukueni mali bora zaidi ya nchi katika vyombo vyenu mkampelekee mtu huyo iwe zawadi:+ zeri kidogo,+ na asali kidogo,+ ubani mweusi na gome lenye utomvu,+ kungu na lozi.+
8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+