Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa, basi, ndivyo ilivyo,+ fanyeni hivi: Chukueni mali bora zaidi ya nchi katika vyombo vyenu mkampelekee mtu huyo iwe zawadi:+ zeri kidogo,+ na asali kidogo,+ ubani mweusi na gome lenye utomvu,+ kungu na lozi.+

  • Kutoka 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

      Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

      Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

  • Methali 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwanangu, kula asali, kwa maana ni njema; asali tamu ya sega na iwe katika kaakaa lako.+

  • Mathayo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki