Waamuzi 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asile kitu chochote kinachotokana na mzabibu, asinywe divai wala chochote chenye kileo,+ na asile kitu chochote kisicho safi.+ Anapaswa kuzingatia mambo yote niliyomwagiza.”
14 Asile kitu chochote kinachotokana na mzabibu, asinywe divai wala chochote chenye kileo,+ na asile kitu chochote kisicho safi.+ Anapaswa kuzingatia mambo yote niliyomwagiza.”