Mathayo 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakamjia na kuuliza: “Kwa nini sisi na Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”+ Luka 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kulingana na hilo, Yohana Mbatizaji amekuja akiwa hali mkate wala kunywa divai, lakini mnasema, ‘Ana roho mwovu.’+
14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakamjia na kuuliza: “Kwa nini sisi na Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”+
33 Kulingana na hilo, Yohana Mbatizaji amekuja akiwa hali mkate wala kunywa divai, lakini mnasema, ‘Ana roho mwovu.’+