Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+ Ayubu 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne.
23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+
16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne.