17 Yehova, Mkombozi wako,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako, Yeye anayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,+ Yeye anayekufanya uende katika njia unayopaswa kutembea ndani yake.+
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+