1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ Zaburi 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu. Zaburi 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+
10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+