Kumbukumbu la Torati 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+ Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+
26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+