Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,

      Niliendelea kumlilia Mungu wangu anisaidie.

      Akiwa katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Na kilio changu cha kumwomba msaada kilifika masikioni mwake.+

  • Zaburi 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+

      Acha nisiaibishwe kamwe.+

      Niokoe kwa sababu ya uadilifu wako.+

  • Zaburi 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki.

      Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+

  • Zaburi 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+

      Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+

  • Zaburi 143:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ninazikumbuka siku za kale;

      Ninatafakari utendaji wako wote;+

      Ninatafakari* kwa bidii kazi ya mikono yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki