Zaburi 22:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baba zetu walikutumaini wewe;+Walikutumaini, nawe ulikuwa ukiwaokoa.+ 5 Walikulilia kwa sauti, wakaokolewa;Walikutumaini, nao hawakukatishwa tamaa.*+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kuwa andiko linasema: “Yeyote anayemwamini hatakata tamaa.”+
4 Baba zetu walikutumaini wewe;+Walikutumaini, nawe ulikuwa ukiwaokoa.+ 5 Walikulilia kwa sauti, wakaokolewa;Walikutumaini, nao hawakukatishwa tamaa.*+