Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mungu wangu, ninakutumaini wewe;+Usiruhusu niaibishwe.+ Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+ Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kuwa andiko linasema: “Yeyote anayemwamini hatakata tamaa.”+
6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+