Zaburi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maneno yangu utege sikio,+ Ee Yehova;Uelewe kuugua kwangu. Zaburi 80:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+ Zaburi 84:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Mungu wa majeshi, usikie sala yangu;+Utege sikio, Ee Mungu wa Yakobo.+ Sela. 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+
80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+