Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Kumbukumbu la Torati 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nanyi mnajua vema leo (kwa maana mimi sihutubii wana wenu ambao hawajajua wala hawajaona nidhamu ya Yehova+ Mungu wenu, ukuu wake,+ mkono wake wenye nguvu+ na mkono wake ulionyooshwa,+ Zaburi 78:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili kizazi kitakachokuja, wana ambao wangezaliwa, wapate kuyajua,+Ili wasimame na kuwasimulia wana wao,+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.
2 Nanyi mnajua vema leo (kwa maana mimi sihutubii wana wenu ambao hawajajua wala hawajaona nidhamu ya Yehova+ Mungu wenu, ukuu wake,+ mkono wake wenye nguvu+ na mkono wake ulionyooshwa,+
6 Ili kizazi kitakachokuja, wana ambao wangezaliwa, wapate kuyajua,+Ili wasimame na kuwasimulia wana wao,+
4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.