Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Ila tu hakuna kitu chochote kilichotolewa wakfu ambacho huenda mtu akamtolea Yehova kwa ajili ya uharibifu+ kutoka katikati ya vyote vilivyo vyake, iwe ni kutoka kwa wanadamu au wanyama au kutoka katika shamba lililo mali yake, kitakachouzwa, wala hakuna aina yoyote ya kitu kilichotolewa ambacho kitanunuliwa.+ Hicho ni kitu kitakatifu zaidi kwa Yehova.

  • Hesabu 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na sasa ueni kila mtoto wa kiume, na kumuua kila mwanamke ambaye amefanya ngono na mtu kwa kulala na mwanamume.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+

  • Kumbukumbu la Torati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu lazima utawaangamiza, Wahiti na Waamori, Wakanaani na Waperizi, Wahivi na Wayebusi,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki