Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.

  • Zaburi 74:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+

      Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+

  • Isaya 51:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+

  • Ezekieli 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ongea, nawe useme, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama niko juu yako, Ee Farao, mfalme wa Misri,+ yule mnyama mkubwa wa baharini+ anayelala akiwa amejinyoosha katikati ya mifereji yake ya Nile,+ ambaye amesema, ‘Mto wangu wa Nile ni wangu, na mimi—mimi nimeufanya kwa ajili yangu mwenyewe.’+

  • Ezekieli 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mfanyie wimbo wa huzuni Farao mfalme wa Misri, nawe utamwambia, ‘Umenyamazishwa kama mwana-simba wa mataifa mwenye manyoya shingoni.+

      “ ‘Nawe umekuwa kama mnyama mkubwa wa majini katika bahari,+ nawe uliendelea kufoka katika mito yako, nawe ukaendelea kutibua maji kwa miguu yako na kuichafua mito yao.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki