-
Ezekieli 29:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Ongea, nawe useme, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama niko juu yako, Ee Farao, mfalme wa Misri,+ yule mnyama mkubwa wa baharini+ anayelala akiwa amejinyoosha katikati ya mifereji yake ya Nile,+ ambaye amesema, ‘Mto wangu wa Nile ni wangu, na mimi—mimi nimeufanya kwa ajili yangu mwenyewe.’+
-
-
Ezekieli 32:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Mwana wa binadamu, mfanyie wimbo wa huzuni Farao mfalme wa Misri, nawe utamwambia, ‘Umenyamazishwa kama mwana-simba wa mataifa mwenye manyoya shingoni.+
“ ‘Nawe umekuwa kama mnyama mkubwa wa majini katika bahari,+ nawe uliendelea kufoka katika mito yako, nawe ukaendelea kutibua maji kwa miguu yako na kuichafua mito yao.’
-