Ezekieli 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliipotosha hekima yako kwa sababu ya fahari yako yenye utukufu.+ Nitakutupa chini duniani.+ Nitakufanya uwe kitu cha kutazamwa na wafalme.
17 Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliipotosha hekima yako kwa sababu ya fahari yako yenye utukufu.+ Nitakutupa chini duniani.+ Nitakufanya uwe kitu cha kutazamwa na wafalme.