Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Zaburi 73:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+ Zaburi 147:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anawatuliza wapole;+Anawashusha waovu mpaka chini.+ Isaya 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Hata hivyo, utashushwa chini mpaka katika Kaburi,*+ katika sehemu za mbali zaidi za shimo.+