13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
9 kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na lile jiji lililo katikati ya hilo bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu ya Medeba+ hadi Diboni;+
18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+