Isaya 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa. Yeremia 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Moabu ameona aibu, kwa maana ameingiwa na hofu.+ Piga mayowe na kupaaza kilio. Tangazeni katika Arnoni+ kwamba Moabu ameporwa.
2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
20 Moabu ameona aibu, kwa maana ameingiwa na hofu.+ Piga mayowe na kupaaza kilio. Tangazeni katika Arnoni+ kwamba Moabu ameporwa.