Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.

  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 51:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Majiji yake yamekuwa kitu cha kushangaza, nchi isiyo na maji na nchi tambarare ya jangwani.+ Kama nchi, ndani yao hakuna mtu atakayekaa, na katikati yao hakuna mwana wa binadamu atakayepita.+

  • Yeremia 51:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+

      Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki