Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.

  • Isaya 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.

  • Yeremia 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana taifa limekuja juu yake kutoka kaskazini.+ Hilo ndilo linaloifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza, hivi kwamba hakuna yeyote anayekaa ndani yake.+ Mwanadamu na pia mnyama wa kufugwa wamekimbia.+ Wameenda zao.”+

  • Yeremia 50:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji watakaa pamoja na wanyama wenye kupiga mayowe, na mbuni watakaa ndani yake;+ na ndani yake yeye hatakaliwa tena kamwe, wala yeye hatakaa mahali popote kwa kizazi baada ya kizazi.”+

  • Yeremia 51:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Dunia itetemeke na kuwa katika maumivu makali,+ kwa maana fikira za Yehova zimeinuka juu ya Babiloni ili kuifanya nchi ya Babiloni kuwa kitu cha kushangaza, bila mkaaji.+

  • Yeremia 51:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+ pango la mbwa-mwitu,+ kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi, bila mkaaji.+

  • Ufunuo 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena kamwe ndani yako, na hakuna sauti ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe ndani yako;+ kwa sababu wanabiashara+ wako wanaosafiri walikuwa ndio watu wenye daraja la juu+ wa dunia, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na pepo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki