Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’

  • 2 Mambo ya Nyakati 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akajiwekea mwenyewe katika cheo makuhani wa mahali pa juu+ na wa roho waovu wenye umbo la mbuzi+ na wa wale ndama aliokuwa ametengeneza.+

  • Isaya 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wakaaji wa maeneo yasiyo na maji watakutana na wanyama wanaopiga mayowe, na hata roho mwovu mwenye umbo la mbuzi+ atamwita mwenzake. Ndiyo, hapo babewatoto atastarehe na kujipa mahali pa kupumzika.+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki