7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’
14 Na wakaaji wa maeneo yasiyo na maji watakutana na wanyama wanaopiga mayowe, na hata roho mwovu mwenye umbo la mbuzi+ atamwita mwenzake. Ndiyo, hapo babewatoto atastarehe na kujipa mahali pa kupumzika.+
2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+