Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+

  • 2 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia+ iliyotumika juu ya Samaria+ na pia timazi iliyotumiwa juu ya nyumba ya Ahabu;+ nami nitafuta+ kabisa Yerusalemu kama vile mtu anavyofuta kabisa bakuli lisilo na mkono, akilifuta kabisa na kulipindua.+

  • Isaya 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na neno la Yehova hakika litakuwa kwao “amri juu ya amri, amri juu ya amri, kamba ya kupimia juu ya kamba ya kupimia, kamba ya kupimia juu ya kamba ya kupimia,+ hapa kidogo, pale kidogo,” ili waende na hakika wajikwae kuelekea nyuma na kwa kweli wavunjwe na kunaswa na kukamatwa.+

  • Maombolezo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova amekusudia kuuharibu ukuta+ wa binti Sayuni.

      Amenyoosha kamba ya kupimia.+ Hakurudisha mkono wake usimeze.+

      Naye hufanya boma na ukuta kuomboleza.+ Zimedhoofika zote pamoja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki