Maombolezo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+ Ameinyoosha kamba ya kupimia.+ Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.* Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze. Zote pamoja zimedhoofishwa. Maombolezo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:8 re 162 Maombolezo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:8 Upeo wa Ufunuo, uku. 162
8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+ Ameinyoosha kamba ya kupimia.+ Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.* Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze. Zote pamoja zimedhoofishwa.