2 Wafalme 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi lilibomoa kuta zilizozunguka Yerusalemu.+ Yeremia 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Halafu Wakaldayo wakaiteketeza nyumba ya* mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kabisa kuta za Yerusalemu.+
10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi lilibomoa kuta zilizozunguka Yerusalemu.+
8 Halafu Wakaldayo wakaiteketeza nyumba ya* mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kabisa kuta za Yerusalemu.+