Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+ Zaburi 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nihukumu kulingana na uadilifu wako, Ee Yehova Mungu wangu,+Nao wasishangilie juu yangu.+ Yeremia 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+
20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+