Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 42:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+

  • Yeremia 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mwishowe wakaingia katika nchi ya Misri,+ kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova; nao mwishowe wakafika mpaka Tahpanhesi.+

  • Ezekieli 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki