14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+
15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+