2 Mambo ya Nyakati 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mtu fulani wa Mungu wa kweli+ akamjia, akisema: “Ee mfalme, usiache jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Israeli,+ yaani, wana wote wa Efraimu. Zaburi 78:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Naye akakataa hema la Yosefu;+Na kabila la Efraimu hakulichagua.+
7 Na mtu fulani wa Mungu wa kweli+ akamjia, akisema: “Ee mfalme, usiache jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Israeli,+ yaani, wana wote wa Efraimu.