Amosi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova,Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:4 w04 11/15 17 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:4 Mnara wa Mlinzi,11/15/2004, uku. 17
4 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova,Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+