Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga.

  • Yeremia 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’

  • Yeremia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 juu ya Misri+ na juu ya Yuda+ na juu ya Edomu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Moabu+ na juu ya wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso wanaokaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayakutahiriwa, na nyumba yote ya Israeli hawakutahiriwa moyoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki