2 Mambo ya Nyakati 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na msiwe kama mababu zenu+ na kama ndugu zenu waliotenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kushangaza,+ kama vile mnavyoona. Yeremia 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 lakini waliendelea kufuata ukaidi wa moyo+ wao na sanamu za Baali,+ ambazo baba zao walikuwa wamewafundisha;+
7 Na msiwe kama mababu zenu+ na kama ndugu zenu waliotenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kushangaza,+ kama vile mnavyoona.
14 lakini waliendelea kufuata ukaidi wa moyo+ wao na sanamu za Baali,+ ambazo baba zao walikuwa wamewafundisha;+