Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 43:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha mapingo ya magereza,+ na Wakaldayo katika meli kwa vilio vyao vya kulalamika.+

  • Yeremia 50:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+

  • Yeremia 51:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Kwa maana atakuja juu yake, juu ya Babiloni, mporaji,+ na wanaume wake wenye nguvu hakika watakamatwa.+ Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,+ kwa maana Yehova ni Mungu wa malipo.+ Bila shaka atalipa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki