14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha mapingo ya magereza,+ na Wakaldayo katika meli kwa vilio vyao vya kulalamika.+
25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+
56 Kwa maana atakuja juu yake, juu ya Babiloni, mporaji,+ na wanaume wake wenye nguvu hakika watakamatwa.+ Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,+ kwa maana Yehova ni Mungu wa malipo.+ Bila shaka atalipa.+