9 (Ilitoka kwa Rehumu ofisa mkuu wa serikali na mwandishi Shimshai na wenzao, yaani, waamuzi na magavana wadogo, waandishi, watu wa Ereki,+ Wababiloni, wakaaji wa Susa,+ yaani, Waelamu,+
8 Inakuwaje kwamba kila mmoja wetu anasikia lugha yake ya asili?*9 Waparthi, Wamedi,+ na Waelami,+ wakaaji wa Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na mkoa wa Asia,+