11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.
35 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Ninauvunja upinde wa Elamu,+ chanzo cha* nguvu zao. 36 Nitaleta juu ya Elamu zile pepo nne kutoka kwenye miisho minne ya mbingu, nami nitawatawanya kwenye pepo hizi zote. Hakuna taifa ambako watu wa Elamu waliotawanywa hawataenda.’”